KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA BALOZI WA NORWAY JIJINI DODOMA. January 30, 2019 Monica Sepanjo Slideshow 0 [:en]2. Balozi wa Norway Elisabeth Jacobsen akisikiliza kwa makini wakati Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akielezea jambo kwenye mazungumzo hayo.[:]